Kufuatia ushindi mzito ambao club ya soka ya yanga walioupata jana kwa kuichapa Azam fc kwa mabao 2 kwa moja jiji zima lilizizima furaha kila kona
Hii inakuja kutokana na kiwango kizur kilichooneshwa na timu hiyo licha ya kuwa ilikua na wachezaji 7 majeruhi kabla ya mechi hiyo hali iliyopelekea maelfu ya washabiki kudhania huenda jana yanga ingepoteza mchezo huo
Sunday, 28 January 2018
New
YANGA YALITEKA JIJI
About Chesko Lwayo
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
MAKALA
Labels:
MAKALA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment