Klabu ya soka ya yanga hii leo imefanikiwa kutinga katika hatua ya 16 bora katika mashindano ya shirikisho maarufu kama Azam Sport Federation Cup ASFC kwa kuichapa timu ya Ihefu fc ya mbeya kwa mikwaju ya penati kufuatia kutoka sara ya kufungana bao moja kwa moja ndani ya dakika tisini.
Mchezo huo ulimalizika kwa yanga kupata jumla a penati 4 huku mahasimu wao ihefu wakiambulia 3.
Tuesday, 30 January 2018
New
YANGA ILIVYOTINGA 16 BORA
About Chesko Lwayo
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment