CHIRWA KUWAKOSA ST.LOUIS JUMATANO IJAYO - VAN NEWS

Latest

Saturday, 17 February 2018

CHIRWA KUWAKOSA ST.LOUIS JUMATANO IJAYO

CHIRWA AONGEZA IDADI YA MAJERUHI YANGA

Mshambuliaji Obrey Chirwa ameondolewa kwenye idadadi ya wachezaji watakao safiri na timu kesho jumapili kwenda shelisheli kwaajili ya mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa dhidi ya wenyeji St. Louis.

Kulingana na taarifa iliyo tolewa na ofisa habari wa Yanga Dismasi Ten Chirwa alipata maumivu ya misuli kwenye mchezo dhidi ya majimaji.

Mbali ya Chirwa pia Kiungo Thabani Kamusoko ameondolewa kwenye orodha ya wachezaji watakao safiri kutokana na kutokua fiti licha ya kwamba amepona majeraha yake.

Wachezaji 20 na viongozi 10 nane wabenchi la ufundi wana tarajiwa kuondoka kesho kuelekea shelisheli kuikabili St. Louis jumatano febuary 21

WACHEZAJI WATAKAO SAFIRI

Kipa
πŸ‘‰ Ramadhani Kabwili
πŸ‘‰ Beno Kakolanya
πŸ‘‰ Youthe Rostand

Beki
πŸ‘‰ Hasani Kessy
πŸ‘‰ Juma Abdul
πŸ‘‰ Gadieli Michael I
πŸ‘‰ Endrwo Visenti
πŸ‘‰ Kevini Yondani
πŸ‘‰ Saidi Juma
πŸ‘‰ Nadri Harob. (C)
πŸ‘‰ Pato Ngonyani

Viungo
πŸ‘‰ Papy Tshishimbi
πŸ‘‰ Rafaeli Saudi
πŸ‘‰ Yusufuphu Mhilu
πŸ‘‰ Godfrey Mwadhiuya
πŸ‘‰ Saidi Bakari
πŸ‘‰ Juma Mahadhi

Washambuliaji
πŸ‘‰Emanueli Martin
πŸ‘‰ Ibrahimu Ajibu.

Pia wachezaji
πŸ‘‰ Maka Edwardian
πŸ‘‰ Matheo Antoni
πŸ‘‰ Baruani Yahaya
Hawana Leseni za kucheza mashindano ya kimataifa.

Majeruhi
πŸ‘‰ Amisi Tambwe
πŸ‘‰ Donald Ngoma
πŸ‘‰ Abdala Shaibu
πŸ‘‰ Yohana Nkomola
Hawa wataendelea kukosekana kwenye kikosi kutokana na kua na majeruhi wa muda mrefu


No comments:

Post a Comment