BODI ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imesema udahili wa
wanafunzi wanaofanya mitihani ya bodi hiyo umepungua kutokana na woga wa
wanafunzi na somo la hesabu kuwa tatizo kubwa kwao.
Akizungumza na waandishi wa habari jana Dar es Salaam, Kaimu
Mkurugenzi wa Bodi hiyo, Godfrey Mbanyi alisema lengo la bodi hiyo ni
kudahili wanafunzi waliochukua kozi ya ununuzi na ugavi 2,000, Hata
hivyo, alisema tangu mwaka 2016, udahili umekuwa ukishuka ambapo katika
mtihani uliofanyika mwaka 2016, walifanya udahili kwa wanafunzi 1,519,
waliofanya mtihani ni 1,442, waliofaulu ni wanafunzi 660 na kati yao 745
wanarudia mitihani wakati wanafunzi 37 sawa na asilimia 2.6 walifeli.
Sunday, 7 January 2018
New
Hesabu zawakimbiza wanaosoma Ugavi
About Editorial Staff
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment