Majira ya saa 3 usiku huu ajali ya moto imezuka katika eneo la buguruni kwa mnyamani kufuatia kupasuka kwa bomba la gesi taarifa kutoka kwa mashuhuda zinasema nyumba zimeharibika kutokana na ajali hiyo lakini hadi tunapoandika habar hii atujapata taarifa yuu ya vifo hata hivyo taarifa za awali zinaeleza kikosi cha zima moto kimefanikiwa kuzima moto
Tuesday, 9 January 2018
New
Ajali Ya Moto Dar
Majira ya saa 3 usiku huu ajali ya moto imezuka katika eneo la buguruni kwa mnyamani kufuatia kupasuka kwa bomba la gesi taarifa kutoka kwa mashuhuda zinasema nyumba zimeharibika kutokana na ajali hiyo lakini hadi tunapoandika habar hii atujapata taarifa yuu ya vifo hata hivyo taarifa za awali zinaeleza kikosi cha zima moto kimefanikiwa kuzima moto
About Chesko Lwayo
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment